40 Nasikia kuitwa
1. Nasikia kuitwa
Na sauti yako
Nikasafiwe kwa damu
Ya kwangikwa kwako.
Nikasafiwe kwa damu
Ya kwangikwa kwako.
Chorus:
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.
2. Ni mnyonge kweli,
Umenipa nguvu,
Ulivyonisafi taka,
Ni utimilivu.
3. Yesu hunijuvya;
Mapenzi imani,
Tumai, amani, radhi,
Hapa na Mbinguni.
4. Huipa imara,
Kazi yake, ndani:
Huongezeka neema,
Ashindwe Shetani.
5. Huishuhudia,
Mioyo ya imani
Ya kuzipata ahadi,
Wakimuamini.
6. Napata wokovu,
Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu
Na haki daima.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.
2. Ni mnyonge kweli,
Umenipa nguvu,
Ulivyonisafi taka,
Ni utimilivu.
3. Yesu hunijuvya;
Mapenzi imani,
Tumai, amani, radhi,
Hapa na Mbinguni.
4. Huipa imara,
Kazi yake, ndani:
Huongezeka neema,
Ashindwe Shetani.
5. Huishuhudia,
Mioyo ya imani
Ya kuzipata ahadi,
Wakimuamini.
6. Napata wokovu,
Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu
Na haki daima.
Comments
Post a Comment