47 Ni wako wewe
1. Ni wako wewe, nimekujua,
Na umeniambia;
Lakini Bwana, nataka kwako,
Nizidi kusongea.
Lakini Bwana, nataka kwako,
Nizidi kusongea.
Chorus:
Bwana vuta, vuta, nije nisongee,
Sana, kwako mtini.
Bwana vuta, vuta nije, nisongee,
Pa damu ya thamani.
2. Niweke sasa nikatumike
Kwa nguvu za neema;\
Uyapendayo nami nipende,
Nizidi kukwandama.
3. Nina furaha tele kila saa
Nizungumzayo kwako,
Nikuombapo nami napata
Kujua nia yako.
4. Mapenzi yako hayapimiki,
Ila ng’ambo ya liko.
Anasa pia sitazijua,
Bila kufika kwako.
Bwana vuta, vuta, nije nisongee,
Sana, kwako mtini.
Bwana vuta, vuta nije, nisongee,
Pa damu ya thamani.
2. Niweke sasa nikatumike
Kwa nguvu za neema;\
Uyapendayo nami nipende,
Nizidi kukwandama.
3. Nina furaha tele kila saa
Nizungumzayo kwako,
Nikuombapo nami napata
Kujua nia yako.
4. Mapenzi yako hayapimiki,
Ila ng’ambo ya liko.
Anasa pia sitazijua,
Bila kufika kwako.
Comments
Post a Comment